-
BBC DIRA YA DUNIA ALHAMISI 21.12.2017 - December 21, 2017
-
Mashine Timamu – Tanzanien Swahili Latest Movie 2017 - December 21, 2017
-
BINAMU – Tanzanian Swahili Movie 2017 - December 21, 2017
-
Wolper A-Z alivyotimuliwa kwao kisa kuuzaa sabuni Kariakoo - December 21, 2017
-
KUMBUKUMBU YA WAZIMU – Tanzanian Swahili Latest Movie 2017 - December 21, 2017
-
Baba Diamond Kafunguka ishu ya Mama Diamond kuolewa “Msiniingilie na mama Diamond” - December 21, 2017
-
BABA DIAMOND – “SIJAWAHI KUONGEA NA ZARI, WEMA NA HAMISA NIMEONGEA NAO” - December 21, 2017
-
Zari All White Party Vs Girls Power: Mobetto afunguka haya Uganda - December 21, 2017
-
ALHAMISI 21 DEC, 17 MEZA HURU - December 21, 2017
-
TUNAWASHUKURU WATANZAMAJI,WASIKILIZAJI NA WATEJA WETU. - December 21, 2017
Gigy Money akuta moto BASATA, atupwa kwa Waziri
Msanii wa muziki Gigy Money amefika ofisi za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kwaajili ya kusikiliza tuhuma zake ambazo zilieleza na Naibu Waziri wa Habari, Juliana Shonza ambaye hivi karibuni alitamka mbele ya waandishi kumtaka mrembo huyo kuripoti ofisi kwake kutokana na kosa la picha za uchi. Hata hivyo baada ya kufika BASATA na kukutana na Katibu Mkuu Godfrey Mngereza aliambia haijaitwa na BASATA wala hajafungiwa ila ameitwa na Naibu waziri hivyo anatakiwa kumtafuta waziri ili kujua nini alichokifanya.