-
BBC DIRA YA DUNIA ALHAMISI 21.12.2017 - December 21, 2017
-
Mashine Timamu – Tanzanien Swahili Latest Movie 2017 - December 21, 2017
-
BINAMU – Tanzanian Swahili Movie 2017 - December 21, 2017
-
Wolper A-Z alivyotimuliwa kwao kisa kuuzaa sabuni Kariakoo - December 21, 2017
-
KUMBUKUMBU YA WAZIMU – Tanzanian Swahili Latest Movie 2017 - December 21, 2017
-
Baba Diamond Kafunguka ishu ya Mama Diamond kuolewa “Msiniingilie na mama Diamond” - December 21, 2017
-
BABA DIAMOND – “SIJAWAHI KUONGEA NA ZARI, WEMA NA HAMISA NIMEONGEA NAO” - December 21, 2017
-
Zari All White Party Vs Girls Power: Mobetto afunguka haya Uganda - December 21, 2017
-
ALHAMISI 21 DEC, 17 MEZA HURU - December 21, 2017
-
TUNAWASHUKURU WATANZAMAJI,WASIKILIZAJI NA WATEJA WETU. - December 21, 2017
Magoli 8 aliyofunga Usengimana anayedaiwa kasajiliwa na Singida kwa zaidi ya Tsh Milioni 200
Jina la Danny Usengima kwa soka la Rwanda sio geni lakini kwa Tanzania inawezekana ndio ukawa unalisika kwa sasa baada ya club ya Singida United ya Tanzania kutangaza kumsajili kwa mkataba wa miaka miwili akitokea club ya Polisi FC inayoshiriki Ligi Kuu Rwanda. Danny Usingimana ndio mfungaji bora wa Ligi Kuu Rwanda msimu uliyomalizika amefunga jumla ya magoli 19, kuanzia msimu ujao utamuona akicheza Singida United ambao hawajaweka wazi kiasi walichomsajili. Staa huyo anayeitumikia pia timu ya taifa ya Rwanda mitandao rwanda-foot.com wa Rwanda umeripoti kuwa staa huyo wa Rwanda, amesajiliwa kwa dola 100,ooo za kimarekani ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 200.