-
BBC DIRA YA DUNIA ALHAMISI 21.12.2017 - December 21, 2017
-
Mashine Timamu – Tanzanien Swahili Latest Movie 2017 - December 21, 2017
-
BINAMU – Tanzanian Swahili Movie 2017 - December 21, 2017
-
Wolper A-Z alivyotimuliwa kwao kisa kuuzaa sabuni Kariakoo - December 21, 2017
-
KUMBUKUMBU YA WAZIMU – Tanzanian Swahili Latest Movie 2017 - December 21, 2017
-
Baba Diamond Kafunguka ishu ya Mama Diamond kuolewa “Msiniingilie na mama Diamond” - December 21, 2017
-
BABA DIAMOND – “SIJAWAHI KUONGEA NA ZARI, WEMA NA HAMISA NIMEONGEA NAO” - December 21, 2017
-
Zari All White Party Vs Girls Power: Mobetto afunguka haya Uganda - December 21, 2017
-
ALHAMISI 21 DEC, 17 MEZA HURU - December 21, 2017
-
TUNAWASHUKURU WATANZAMAJI,WASIKILIZAJI NA WATEJA WETU. - December 21, 2017
Moto mkubwa jijini London wasababisha vifo vya watu
Mkasa mkubwa wa moto umeteketeza jengo la orofa 27 la makazi ya watu na kuua watu kadhaa. Mwanasheria Mkuu wa Marekani Jeff Sessions atoa ushahidi kwa kamati ya seneti inayochunguza muingilio wa Urusi kwenye uchaguzi wa Marekani lakini akataa kuelezea mawasiliano kati yake na Rais Trump.
Mshukiwa wa uhalifu wa kivita na kibinadamu nchini DRC Bosco Ntaganda kutoa ushahidi katika makahama ya kimataifa ICC.
Njaa yahangaisha watu Kaskazini Magharibi mwa Sudan Kusini kutokana na ukame huku viwango vya juu vya utapiamlo vikiripotiwa. Mchezaji wa kandanda Cristiano Ronaldo ashtakiwa kwa madai ya kukwepa kulipa kodi. Papo kwa Papo 14.06.2017