-
MWISHO WA MWAKA ABIRIA WAONYWA “KIHATARI HATARI” - 4 hours ago
-
TAARIFA YA HABARI YA ITV SAA MBILI 08 DISEMBA 2019 - 5 hours ago
-
USIPIME!! TUNDA MAN ALIVYOKINUKISHA NA WINDHOCK - 5 hours ago
-
MAAJABU YA WINDHOCK UFUKWENI “INAKUPA NGUVU” - 5 hours ago
-
Serikali yatatua mgogogro wa madini uliodumu kwa miaka mitatu|Biteko anena - 6 hours ago
-
Mvua zasababisha Kaya kukosa chakula |Nyumba zabomoka mkoani Mara - 6 hours ago
-
Rais Dkt.Magufuli aweka mawe ya msingi ujenzi wa meli| atoa salamu za rambirambi kifo cha Mufuruki - 6 hours ago
-
JIJI LETU ITV 08 DISEMBA 2019 - 8 hours ago
-
EXCLUSIVE: WAMEKUWA MARAFIKI MIAKA 10, WAKASOMA PAMOJA TANZANIA, LEO WANAMILIKI KAMPUNI YAO CHINA - 8 hours ago
-
OSHA yawataka MAFUNDI kuzingatia Usalama na Afya Mahalipa Kazi - 9 hours ago
WIZARA YA AFYA HAIJAISAHAU GEITA , IMETANGAZA GOOD NEWS
Serikal kupitia wizara ya Afya imetangaza kujenga hospitali ya rufaa ya kikanda mkoani Geita ili kupunguza msongamano katika hospital ya rufaa ya kanda ya Mwanza
Waziri wa Afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto Ummy Mwalimu amesema kanda ya ziwa inakadiriwa kuwa na watu million 13.4 “Hospitali hii lazima tuvutie wagonjwa kutoka Kongo,Burundi na Rwanda na tunataka kuifanya Geita Kuwa kituo cha Utalii wa matibabu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania” WAZIRI UMMY