-
Habari za Saa, Saa Nane na Dakika 55, Machi 04, 2021. - 47 mins ago
-
Umuhimu wa wanawake katika uchumi wa viwanda - about 1 hour ago
-
Saluni zafunguliwa tena Ujerumani - 2 hours ago
-
Habari za Saa, Saa Saba na Dakika 55, Machi 04, 2021. - 2 hours ago
-
COASTAL UNION Vs YOUNG AFRICANS UWANJA WA MKWA KWANI TANGA: UBOVU WA YANGA NI UMALIZIAJI - 2 hours ago
-
Taarifa ya Habari ya Radio One Saa Saba Mchana, Machi 04, 2021. - 3 hours ago
-
Habari za Saa, Saa Sita na Dakika 55, Machi 04, 2021. - 3 hours ago
-
SIMBA SC Vs AL- MERREIKH SPORTING CLUB: NI MECHI YA VITA, DO OR DIE, UCHAMBUZI - 4 hours ago
-
Habari za Saa, Saa Tano na Dakika 55, Machi 04, 2021. - 4 hours ago
-
MEDDY CLASSIC, MSANII CHIPUKIZI ALIYEMUIMBISHA RAPPER MAARIFA SINGELI/WASANII KUWASHIKA MKONO - 4 hours ago
MBUNGE WA VITI MAALUM WAFANYAKAZI JANEJELLY AANZA NA HOSPITALI YA MUHIMBILI
Mbunge wa Viti Maalum Wafanyakazi Mhe Janejelly James Ntate Ijumaa hii alitembelea hospitali ya Taifa Muhimbili na kufanya kikao na Chama Cha Wafanyakazi wa hospitali hiyo kujua changamoto pamoja na kuangalia mazingira yao ya kazi.
Akizungumza na wafanyakazi wa hospitali hiyo aliwapongeza kwa kazi nzuri na kuwataka waendelee kufanya kazi kwa bidii kwa Watanzania wanawategemea.
Amesema yeye ataendelea kuishauri serikali pamoja na CCM kutekeleza yale yote ambayo yaliahidiwa kwenye Ilani ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.