-
WANAFUNZI 13 WA CHUO CHA MIPANGO DODOMA WANASA KWENYE 18 ZA TAKUKURU - 10 hours ago
-
MBUNGE WA VITI MAALUM WAFANYAKAZI JANEJELLY AANZA NA HOSPITALI YA MUHIMBILI - 18 hours ago
-
Watoto Wetu: Usalama barabarani kwa Watoto, Januari 16, 2021. - 19 hours ago
-
MWANAFUNZI WA KWANZA KIDATO CHA NNE NCHI NZIMA WASICHANA, MAGUMU ALIYOPITIA, NDOTO ZAKE - 22 hours ago
-
Kumekucha: Changamoto za Usafirishaji , Januari 16, 2021. - 22 hours ago
-
ITVMagazeti: Matokeo Kidato cha IV, Januari 16, 2021. - 23 hours ago
-
Taarifa ya Habari ya Asubuhi, Januari 16, 2021. - 23 hours ago
-
Taarifa Ya Habari Ya Saa Tano Usiku, Januari 15, 2021. - 1 day ago
-
Matangazo ya Dira ya Dunia TV - 1 day ago
-
Bobi Wine ayapinga matokeo ya uchaguzi ya mapema - 1 day ago
Mshirika wa karibu zaidi wa rais wa Marekani Donald Trump amemtaka kiongozi huyo kukubali kushindwa
Hujambo? karibu katika matangazo ya AMKA NA BBC, Habari kuu asubuhii hii kwa muktasari ni pamoja na…
Mgogoro nchini Ethiopia waendelea kupamba moto, huku wajumbe wa umoja wa Afrika wakishindwa kufika eneo la mapigano, nini kinaendelea?
Mshirika wa karibu zaidi wa Rais wa Marekani Donald Trump amemtaka kiongozi huyo kukubali kushindwa huku mwanasheria wa Democrat akisema ni matumizi mabaya ya ofisi ya Rais.
Utasikia pia hofu ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya Corona katika magereza nchini Rwanda na hatua zinazochukuliwa na nchi hiyo kukabiliana na ongezeko hilo.
Utakuwa nami Regina Mziwanda na michezoni utakuwa na David Nkya
#AMKANABBC
#Tigray
#uchaguziUganda2021