-
WANAFUNZI 13 WA CHUO CHA MIPANGO DODOMA WANASA KWENYE 18 ZA TAKUKURU - 10 hours ago
-
MBUNGE WA VITI MAALUM WAFANYAKAZI JANEJELLY AANZA NA HOSPITALI YA MUHIMBILI - 19 hours ago
-
Watoto Wetu: Usalama barabarani kwa Watoto, Januari 16, 2021. - 20 hours ago
-
MWANAFUNZI WA KWANZA KIDATO CHA NNE NCHI NZIMA WASICHANA, MAGUMU ALIYOPITIA, NDOTO ZAKE - 22 hours ago
-
Kumekucha: Changamoto za Usafirishaji , Januari 16, 2021. - 22 hours ago
-
ITVMagazeti: Matokeo Kidato cha IV, Januari 16, 2021. - 23 hours ago
-
Taarifa ya Habari ya Asubuhi, Januari 16, 2021. - 23 hours ago
-
Taarifa Ya Habari Ya Saa Tano Usiku, Januari 15, 2021. - 1 day ago
-
Matangazo ya Dira ya Dunia TV - 1 day ago
-
Bobi Wine ayapinga matokeo ya uchaguzi ya mapema - 1 day ago
Mtu mmoja amepoteza maisha na mwingine kujeruhiwa vibaya katika ajali, Kahama.
Mtu mmoja amepoteza maisha na mwingine kujeruhiwa vibaya katika ajali mbili tofauti zilizohusisha malori yaliyobeba mafuta katika eneo la Isaka na Shuni wilayani Kahama na kusababisha taharuki kwa wakazi wa maeneo hayo walioshuhudia ajali na kukimbia wakiacha mafuta yakimwagika na kumiminika mtaroni huku Lori la kampuni ya Mount Meru Petroleum Ltd ya Arusha likiwaka moto na kuteketea kabisa.