-
WANAFUNZI 13 WA CHUO CHA MIPANGO DODOMA WANASA KWENYE 18 ZA TAKUKURU - 11 hours ago
-
MBUNGE WA VITI MAALUM WAFANYAKAZI JANEJELLY AANZA NA HOSPITALI YA MUHIMBILI - 19 hours ago
-
Watoto Wetu: Usalama barabarani kwa Watoto, Januari 16, 2021. - 20 hours ago
-
MWANAFUNZI WA KWANZA KIDATO CHA NNE NCHI NZIMA WASICHANA, MAGUMU ALIYOPITIA, NDOTO ZAKE - 22 hours ago
-
Kumekucha: Changamoto za Usafirishaji , Januari 16, 2021. - 23 hours ago
-
ITVMagazeti: Matokeo Kidato cha IV, Januari 16, 2021. - 24 hours ago
-
Taarifa ya Habari ya Asubuhi, Januari 16, 2021. - 24 hours ago
-
Taarifa Ya Habari Ya Saa Tano Usiku, Januari 15, 2021. - 1 day ago
-
Matangazo ya Dira ya Dunia TV - 1 day ago
-
Bobi Wine ayapinga matokeo ya uchaguzi ya mapema - 1 day ago
Walichokizungumza TFF kuhusu TRA kuzifunga ofisi zao
Moja kati ya stori zilizo trend jana March 15 katika soka ni pamoja na hii ya ofisi za makao makuu ya shirikisho la soka Tanzania TFF kufungwa na Yono kwa agizo la mamlaka ya mapato Tanzania TRA. YONO ambao ni madalali wa mahakama na mawakala wa TRA walizifunga ofisi za TFF na kuagiza maafisa wote watoke nje huku wakiruhusiwa kubaki eneo hilo walinzi na gari binafsi zilizokuwa katika eneo hilo kutolewa nje kutokana na TFF kudai malimbikizo ya kodi na TRA.