-
Habari za Saa, Saa Nane na Dakika 55, Machi 04, 2021. - 38 mins ago
-
Umuhimu wa wanawake katika uchumi wa viwanda - about 1 hour ago
-
Saluni zafunguliwa tena Ujerumani - 2 hours ago
-
Habari za Saa, Saa Saba na Dakika 55, Machi 04, 2021. - 2 hours ago
-
COASTAL UNION Vs YOUNG AFRICANS UWANJA WA MKWA KWANI TANGA: UBOVU WA YANGA NI UMALIZIAJI - 2 hours ago
-
Taarifa ya Habari ya Radio One Saa Saba Mchana, Machi 04, 2021. - 2 hours ago
-
Habari za Saa, Saa Sita na Dakika 55, Machi 04, 2021. - 3 hours ago
-
SIMBA SC Vs AL- MERREIKH SPORTING CLUB: NI MECHI YA VITA, DO OR DIE, UCHAMBUZI - 3 hours ago
-
Habari za Saa, Saa Tano na Dakika 55, Machi 04, 2021. - 4 hours ago
-
MEDDY CLASSIC, MSANII CHIPUKIZI ALIYEMUIMBISHA RAPPER MAARIFA SINGELI/WASANII KUWASHIKA MKONO - 4 hours ago
Zanzibar kuyapatia thamani zao la bahari kuimarisha uchumi wa baharini
Serikali ya awamu ya nne visiwani Zanzibar imeazimia kuleta mageuzi ya kiuchumi kisiwani humo kupitia matumizi sahihi ya bahari.
Ikiwa ni zaidi ya siku 100 toka kuingia kwake madarakani Rais wa Zanzibar Dokta Hussein Mwinyi anasema ni wakati wa kutafuta vyanzo mbadala vya kuichumi hasa katika nyakati hizi ambapo dunia ina pambana na virusi vya corona.
#zanzibar
#uchumiwamajini
#Maalimseif